• KUWA MWANDISHI WA HABARI
  • TIMU YA WAHARIRI
  • KUHUSU SISI
  • WASILANA NASI
Wednesday, June 25, 2025
  • Login
  • Register
Kivu-Avenir
Advertisement
  • MWAZO
  • UCHUMI
    Kivu Kusini : Waasi wa M23 wasababisha Ajali Nyingi pa Bukavu na watu wengi wakufa bila sababu

    Kivu Kusini : Waasi wa M23 wasababisha Ajali Nyingi pa Bukavu na watu wengi wakufa bila sababu

    DRC : Bilioni 148 franka za Kongo, pesa zenyi kupotea ndani ya mfuko wa serkali

    DRC : Bilioni 148 franka za Kongo, pesa zenyi kupotea ndani ya mfuko wa serkali

  • HABARI
    • All
    • AFRIKA
    • ELIMU
    • HABARI KATIKA PICHA
    • KIJAMII
    RDC: “Nchi iko ukingoni mwa kulipuka. Kutafuta suluhisho la mgogoro wa Kongo kwa kusaini na Rwanda ni kupotea njia” – Kikaya bin Karubi atoa onyo kali kuhusu mwelekeo wa nchi, akifichua msimamo wa Kabila juu ya M23

    RDC: “Nchi iko ukingoni mwa kulipuka. Kutafuta suluhisho la mgogoro wa Kongo kwa kusaini na Rwanda ni kupotea njia” – Kikaya bin Karubi atoa onyo kali kuhusu mwelekeo wa nchi, akifichua msimamo wa Kabila juu ya M23

    RDC: “Mkishaziona mashine zangu katika migodi ya dhahabu Ituri, zichomeni moto” – Luteni Jenerali Luboya N’kashama awaambia wakazi wa Bunia

    RDC: “Mkishaziona mashine zangu katika migodi ya dhahabu Ituri, zichomeni moto” – Luteni Jenerali Luboya N’kashama awaambia wakazi wa Bunia

    DRC: “Nitafanya kazi na wananchi wa Bukavu ili tufikie malengo ya AFC/M23 kwa pamoja,” asema Busu Bwa Ngwi Nshombo Patrick wakati wa kuapishwa kwake kama Gavana wa Kivu Kusini

    DRC: “Nitafanya kazi na wananchi wa Bukavu ili tufikie malengo ya AFC/M23 kwa pamoja,” asema Busu Bwa Ngwi Nshombo Patrick wakati wa kuapishwa kwake kama Gavana wa Kivu Kusini

    RDC: Constant Mutamba Atangaza Kujiuzulu kwa Rais Félix Tshisekedi

    RDC: Constant Mutamba Atangaza Kujiuzulu kwa Rais Félix Tshisekedi

    DRC : MLC Yaitaka CENCO Ijisajili Rasmi Kama Chama cha Kisiasa

    DRC : MLC Yaitaka CENCO Ijisajili Rasmi Kama Chama cha Kisiasa

    Kivu-Kusini :Barabara za karabatiwa kwa Uongozi wa Kundi AFC-M23

    Kivu-Kusini :Barabara za karabatiwa kwa Uongozi wa Kundi AFC-M23

    DRC: Serikali Yatoa Onyo Dhidi ya Siasa za Mgawanyiko wa Lugha

    DRC: Serikali Yatoa Onyo Dhidi ya Siasa za Mgawanyiko wa Lugha

    RDC – Ituri: Jenerali Johnny Luboya alaani hali ya kusikitisha ya wajane wa wanajeshi waliouawa vitani

    RDC – Ituri: Jenerali Johnny Luboya alaani hali ya kusikitisha ya wajane wa wanajeshi waliouawa vitani

    DRC: “Hakuna Anayeielewa Congo Vizuri Kama Rais wa Zamani Joseph Kabila, Aliyeiongoza kwa Miaka 18” – Profesa Muhindo Mughanda

    DRC: “Hakuna Anayeielewa Congo Vizuri Kama Rais wa Zamani Joseph Kabila, Aliyeiongoza kwa Miaka 18” – Profesa Muhindo Mughanda

    • AFRIKA
    • HABARI KATIKA PICHA
    • ELIMU
    • KIJAMII
  • SERA
    DRC: Prince Epenge wa LAMUKA amhimiza Rais Tshisekedi ajitenge na “wakabiliste” walio karibu naye – Muyaya, Lihau na Mende washutumiwa vikali

    DRC: Prince Epenge wa LAMUKA amhimiza Rais Tshisekedi ajitenge na “wakabiliste” walio karibu naye – Muyaya, Lihau na Mende washutumiwa vikali

    RDC: Aibu ya Kitaifa – Joseph Kabila Aingia Goma Chini ya Ulinzi wa Jeshi la Rwanda (RDF)

    RDC: Aibu ya Kitaifa – Joseph Kabila Aingia Goma Chini ya Ulinzi wa Jeshi la Rwanda (RDF)

    Kivu Kusini : Waasi wa M23 wasababisha Ajali Nyingi pa Bukavu na watu wengi wakufa bila sababu

    Kivu Kusini : Waasi wa M23 wasababisha Ajali Nyingi pa Bukavu na watu wengi wakufa bila sababu

    Kigali–Goma: Njia ya Siri ya Joseph Kabila Yachochea Maswali Mapya

    Kigali–Goma: Njia ya Siri ya Joseph Kabila Yachochea Maswali Mapya

    Tahariri: Ukweli Halisi Kuhusu Nafasi za FARDC na Propaganda za Upotoshaji

    Tahariri: Ukweli Halisi Kuhusu Nafasi za FARDC na Propaganda za Upotoshaji

    DRC: Kivu Kaskazini ni shida isiyoelezeka

    DRC: Kivu Kaskazini ni shida isiyoelezeka

    Ukosefu wa Usalama Mashariki mwa DRC: Msimamo wa ICRC kuhusu waliokimbia makazi yao katika kambi ya  Kanyabayonga

    Ukosefu wa Usalama Mashariki mwa DRC: Msimamo wa ICRC kuhusu waliokimbia makazi yao katika kambi ya Kanyabayonga

    DRC: Taarifa kuhusu Serikali ya Suminwa

    DRC: Taarifa kuhusu Serikali ya Suminwa

    DRC/Usalama: Julien Paluku anapendekeza ujenzi wa jimbo lenye msingi wa jeshi na utawala dhabiti.

    DRC/Usalama: Julien Paluku anapendekeza ujenzi wa jimbo lenye msingi wa jeshi na utawala dhabiti.

  • JAMII
    • All
    • AFYA
    • HAKI
    • HAKI ZA BINADAMU
    • UCHAGUZI
    • UHURU WA WAANDISHI WA HABARI
    • USALAMA
    • UTAMADUNI
    RDC: “Nchi iko ukingoni mwa kulipuka. Kutafuta suluhisho la mgogoro wa Kongo kwa kusaini na Rwanda ni kupotea njia” – Kikaya bin Karubi atoa onyo kali kuhusu mwelekeo wa nchi, akifichua msimamo wa Kabila juu ya M23

    RDC: “Nchi iko ukingoni mwa kulipuka. Kutafuta suluhisho la mgogoro wa Kongo kwa kusaini na Rwanda ni kupotea njia” – Kikaya bin Karubi atoa onyo kali kuhusu mwelekeo wa nchi, akifichua msimamo wa Kabila juu ya M23

    RDC: Constant Mutamba Atangaza Kujiuzulu kwa Rais Félix Tshisekedi

    RDC: Constant Mutamba Atangaza Kujiuzulu kwa Rais Félix Tshisekedi

    Kivu-Kusini :Barabara za karabatiwa kwa Uongozi wa Kundi AFC-M23

    Kivu-Kusini :Barabara za karabatiwa kwa Uongozi wa Kundi AFC-M23

    DRC: Serikali Yatoa Onyo Dhidi ya Siasa za Mgawanyiko wa Lugha

    DRC: Serikali Yatoa Onyo Dhidi ya Siasa za Mgawanyiko wa Lugha

    DRC: Prince Epenge wa LAMUKA amhimiza Rais Tshisekedi ajitenge na “wakabiliste” walio karibu naye – Muyaya, Lihau na Mende washutumiwa vikali

    DRC: Prince Epenge wa LAMUKA amhimiza Rais Tshisekedi ajitenge na “wakabiliste” walio karibu naye – Muyaya, Lihau na Mende washutumiwa vikali

    RDC: Aibu ya Kitaifa – Joseph Kabila Aingia Goma Chini ya Ulinzi wa Jeshi la Rwanda (RDF)

    RDC: Aibu ya Kitaifa – Joseph Kabila Aingia Goma Chini ya Ulinzi wa Jeshi la Rwanda (RDF)

    DRC: Pasipoti ya Katumbi Yazuiwa: Vita Dhidi ya Waswahili Yazidi Kuwaka Nchini

    DRC: Shirika la Kimataifa la Uswahilini (USWAHILI) Latoa Tahadhari Kuhusu Vita ya Ndugu Kwa Ndugu Inayolenga Wazungumzaji wa Kiswahili

    DRC: Kilio cha Fizi Chafika Serikalini: Serikali Yajipanga Kuwasaidia Waathirika

    DRC: Kilio cha Fizi Chafika Serikalini: Serikali Yajipanga Kuwasaidia Waathirika

    Jean Claude Katende: “Ikiwa Rais Tshisekedi hajui jinsi ya kufanya  kazi na katiba ya inch, shida ni yeye mwenyewe.”

    DRC: Tshisekedi awasifu waandishi huku uhuru wa vyombo vya habari ikiendelea kukandamizwa

    • UTAMADUNI
    • UCHAGUZI
    • UHURU WA WAANDISHI WA HABARI
    • AFYA
    • HAKI ZA BINADAMU
    • HAKI
    • USALAMA
  • MAONI
    Tahariri: Ukweli Halisi Kuhusu Nafasi za FARDC na Propaganda za Upotoshaji

    Tahariri: Ukweli Halisi Kuhusu Nafasi za FARDC na Propaganda za Upotoshaji

  • MCHEZO
  • FR
  • EN
No Result
View All Result
  • MWAZO
  • UCHUMI
    Kivu Kusini : Waasi wa M23 wasababisha Ajali Nyingi pa Bukavu na watu wengi wakufa bila sababu

    Kivu Kusini : Waasi wa M23 wasababisha Ajali Nyingi pa Bukavu na watu wengi wakufa bila sababu

    DRC : Bilioni 148 franka za Kongo, pesa zenyi kupotea ndani ya mfuko wa serkali

    DRC : Bilioni 148 franka za Kongo, pesa zenyi kupotea ndani ya mfuko wa serkali

  • HABARI
    • All
    • AFRIKA
    • ELIMU
    • HABARI KATIKA PICHA
    • KIJAMII
    RDC: “Nchi iko ukingoni mwa kulipuka. Kutafuta suluhisho la mgogoro wa Kongo kwa kusaini na Rwanda ni kupotea njia” – Kikaya bin Karubi atoa onyo kali kuhusu mwelekeo wa nchi, akifichua msimamo wa Kabila juu ya M23

    RDC: “Nchi iko ukingoni mwa kulipuka. Kutafuta suluhisho la mgogoro wa Kongo kwa kusaini na Rwanda ni kupotea njia” – Kikaya bin Karubi atoa onyo kali kuhusu mwelekeo wa nchi, akifichua msimamo wa Kabila juu ya M23

    RDC: “Mkishaziona mashine zangu katika migodi ya dhahabu Ituri, zichomeni moto” – Luteni Jenerali Luboya N’kashama awaambia wakazi wa Bunia

    RDC: “Mkishaziona mashine zangu katika migodi ya dhahabu Ituri, zichomeni moto” – Luteni Jenerali Luboya N’kashama awaambia wakazi wa Bunia

    DRC: “Nitafanya kazi na wananchi wa Bukavu ili tufikie malengo ya AFC/M23 kwa pamoja,” asema Busu Bwa Ngwi Nshombo Patrick wakati wa kuapishwa kwake kama Gavana wa Kivu Kusini

    DRC: “Nitafanya kazi na wananchi wa Bukavu ili tufikie malengo ya AFC/M23 kwa pamoja,” asema Busu Bwa Ngwi Nshombo Patrick wakati wa kuapishwa kwake kama Gavana wa Kivu Kusini

    RDC: Constant Mutamba Atangaza Kujiuzulu kwa Rais Félix Tshisekedi

    RDC: Constant Mutamba Atangaza Kujiuzulu kwa Rais Félix Tshisekedi

    DRC : MLC Yaitaka CENCO Ijisajili Rasmi Kama Chama cha Kisiasa

    DRC : MLC Yaitaka CENCO Ijisajili Rasmi Kama Chama cha Kisiasa

    Kivu-Kusini :Barabara za karabatiwa kwa Uongozi wa Kundi AFC-M23

    Kivu-Kusini :Barabara za karabatiwa kwa Uongozi wa Kundi AFC-M23

    DRC: Serikali Yatoa Onyo Dhidi ya Siasa za Mgawanyiko wa Lugha

    DRC: Serikali Yatoa Onyo Dhidi ya Siasa za Mgawanyiko wa Lugha

    RDC – Ituri: Jenerali Johnny Luboya alaani hali ya kusikitisha ya wajane wa wanajeshi waliouawa vitani

    RDC – Ituri: Jenerali Johnny Luboya alaani hali ya kusikitisha ya wajane wa wanajeshi waliouawa vitani

    DRC: “Hakuna Anayeielewa Congo Vizuri Kama Rais wa Zamani Joseph Kabila, Aliyeiongoza kwa Miaka 18” – Profesa Muhindo Mughanda

    DRC: “Hakuna Anayeielewa Congo Vizuri Kama Rais wa Zamani Joseph Kabila, Aliyeiongoza kwa Miaka 18” – Profesa Muhindo Mughanda

    • AFRIKA
    • HABARI KATIKA PICHA
    • ELIMU
    • KIJAMII
  • SERA
    DRC: Prince Epenge wa LAMUKA amhimiza Rais Tshisekedi ajitenge na “wakabiliste” walio karibu naye – Muyaya, Lihau na Mende washutumiwa vikali

    DRC: Prince Epenge wa LAMUKA amhimiza Rais Tshisekedi ajitenge na “wakabiliste” walio karibu naye – Muyaya, Lihau na Mende washutumiwa vikali

    RDC: Aibu ya Kitaifa – Joseph Kabila Aingia Goma Chini ya Ulinzi wa Jeshi la Rwanda (RDF)

    RDC: Aibu ya Kitaifa – Joseph Kabila Aingia Goma Chini ya Ulinzi wa Jeshi la Rwanda (RDF)

    Kivu Kusini : Waasi wa M23 wasababisha Ajali Nyingi pa Bukavu na watu wengi wakufa bila sababu

    Kivu Kusini : Waasi wa M23 wasababisha Ajali Nyingi pa Bukavu na watu wengi wakufa bila sababu

    Kigali–Goma: Njia ya Siri ya Joseph Kabila Yachochea Maswali Mapya

    Kigali–Goma: Njia ya Siri ya Joseph Kabila Yachochea Maswali Mapya

    Tahariri: Ukweli Halisi Kuhusu Nafasi za FARDC na Propaganda za Upotoshaji

    Tahariri: Ukweli Halisi Kuhusu Nafasi za FARDC na Propaganda za Upotoshaji

    DRC: Kivu Kaskazini ni shida isiyoelezeka

    DRC: Kivu Kaskazini ni shida isiyoelezeka

    Ukosefu wa Usalama Mashariki mwa DRC: Msimamo wa ICRC kuhusu waliokimbia makazi yao katika kambi ya  Kanyabayonga

    Ukosefu wa Usalama Mashariki mwa DRC: Msimamo wa ICRC kuhusu waliokimbia makazi yao katika kambi ya Kanyabayonga

    DRC: Taarifa kuhusu Serikali ya Suminwa

    DRC: Taarifa kuhusu Serikali ya Suminwa

    DRC/Usalama: Julien Paluku anapendekeza ujenzi wa jimbo lenye msingi wa jeshi na utawala dhabiti.

    DRC/Usalama: Julien Paluku anapendekeza ujenzi wa jimbo lenye msingi wa jeshi na utawala dhabiti.

  • JAMII
    • All
    • AFYA
    • HAKI
    • HAKI ZA BINADAMU
    • UCHAGUZI
    • UHURU WA WAANDISHI WA HABARI
    • USALAMA
    • UTAMADUNI
    RDC: “Nchi iko ukingoni mwa kulipuka. Kutafuta suluhisho la mgogoro wa Kongo kwa kusaini na Rwanda ni kupotea njia” – Kikaya bin Karubi atoa onyo kali kuhusu mwelekeo wa nchi, akifichua msimamo wa Kabila juu ya M23

    RDC: “Nchi iko ukingoni mwa kulipuka. Kutafuta suluhisho la mgogoro wa Kongo kwa kusaini na Rwanda ni kupotea njia” – Kikaya bin Karubi atoa onyo kali kuhusu mwelekeo wa nchi, akifichua msimamo wa Kabila juu ya M23

    RDC: Constant Mutamba Atangaza Kujiuzulu kwa Rais Félix Tshisekedi

    RDC: Constant Mutamba Atangaza Kujiuzulu kwa Rais Félix Tshisekedi

    Kivu-Kusini :Barabara za karabatiwa kwa Uongozi wa Kundi AFC-M23

    Kivu-Kusini :Barabara za karabatiwa kwa Uongozi wa Kundi AFC-M23

    DRC: Serikali Yatoa Onyo Dhidi ya Siasa za Mgawanyiko wa Lugha

    DRC: Serikali Yatoa Onyo Dhidi ya Siasa za Mgawanyiko wa Lugha

    DRC: Prince Epenge wa LAMUKA amhimiza Rais Tshisekedi ajitenge na “wakabiliste” walio karibu naye – Muyaya, Lihau na Mende washutumiwa vikali

    DRC: Prince Epenge wa LAMUKA amhimiza Rais Tshisekedi ajitenge na “wakabiliste” walio karibu naye – Muyaya, Lihau na Mende washutumiwa vikali

    RDC: Aibu ya Kitaifa – Joseph Kabila Aingia Goma Chini ya Ulinzi wa Jeshi la Rwanda (RDF)

    RDC: Aibu ya Kitaifa – Joseph Kabila Aingia Goma Chini ya Ulinzi wa Jeshi la Rwanda (RDF)

    DRC: Pasipoti ya Katumbi Yazuiwa: Vita Dhidi ya Waswahili Yazidi Kuwaka Nchini

    DRC: Shirika la Kimataifa la Uswahilini (USWAHILI) Latoa Tahadhari Kuhusu Vita ya Ndugu Kwa Ndugu Inayolenga Wazungumzaji wa Kiswahili

    DRC: Kilio cha Fizi Chafika Serikalini: Serikali Yajipanga Kuwasaidia Waathirika

    DRC: Kilio cha Fizi Chafika Serikalini: Serikali Yajipanga Kuwasaidia Waathirika

    Jean Claude Katende: “Ikiwa Rais Tshisekedi hajui jinsi ya kufanya  kazi na katiba ya inch, shida ni yeye mwenyewe.”

    DRC: Tshisekedi awasifu waandishi huku uhuru wa vyombo vya habari ikiendelea kukandamizwa

    • UTAMADUNI
    • UCHAGUZI
    • UHURU WA WAANDISHI WA HABARI
    • AFYA
    • HAKI ZA BINADAMU
    • HAKI
    • USALAMA
  • MAONI
    Tahariri: Ukweli Halisi Kuhusu Nafasi za FARDC na Propaganda za Upotoshaji

    Tahariri: Ukweli Halisi Kuhusu Nafasi za FARDC na Propaganda za Upotoshaji

  • MCHEZO
  • FR
  • EN
No Result
View All Result
Kivu-Avenir
No Result
View All Result
Home HABARI

DRC: “Nitafanya kazi na wananchi wa Bukavu ili tufikie malengo ya AFC/M23 kwa pamoja,” asema Busu Bwa Ngwi Nshombo Patrick wakati wa kuapishwa kwake kama Gavana wa Kivu Kusini

Katika hotuba iliyovuta hisia kubwa kitaifa, Busu Bwa Ngwi Nshombo Patrick, anayejulikana pia kama BNgwi, ameapishwa rasmi kama Gavana mpya wa mkoa wa Kivu Kusini, na kuahidi kushirikiana na wananchi wa Bukavu kutekeleza maono ya muungano wa kisiasa na kijeshi wa AFC/M23.

Redaction Central by Redaction Central
18 June 2025
in HABARI, AFRIKA
Reading Time: 2 mins read
0
DRC: “Nitafanya kazi na wananchi wa Bukavu ili tufikie malengo ya AFC/M23 kwa pamoja,” asema Busu Bwa Ngwi Nshombo Patrick wakati wa kuapishwa kwake kama Gavana wa Kivu Kusini

Busu Bwa Ngwi Nshombo Patrick (kushoto), Gavana mpya wa Kivu Kusini, akiwa na mjumbe wa baraza lake la mawaziri wakati wa mkutano na waandishi wa habari mjini Bukavu, tarehe 16 Juni 2025.

“Nitafanya kazi na wananchi wa Bukavu ili kwa pamoja tufikie malengo ya AFC/M23,” alisema BNgwi wakati wa hotuba yake ya kuapishwa mbele ya viongozi wa serikali, wanaharakati wa kijamii, na wafuasi wa kisiasa. Kauli hiyo imeonekana kama ujumbe wa wazi wa kuendeleza ushawishi wa AFC/M23 katika uongozi wa eneo hilo lenye changamoto nyingi.

Kuchaguliwa kwa BNgwi kunakuja wakati ambapo muungano wa AFC/M23 unaendelea kushika nafasi muhimu kisiasa na kiusalama mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), hususan katika maeneo yaliyokuwa na utawala dhaifu kwa muda mrefu. Tukio hilo la kuapishwa kwake linatafsiriwa kama hatua muhimu ya kisiasa na kijeshi, na pia linaibua maswali kuhusu nafasi ya makundi ya waasi katika utawala wa kiraia.

Katika hotuba yake, BNgwi alisisitiza umoja, utulivu, na “kuanzisha ukurasa mpya kwa Kivu Kusini.” Aliahidi kuboresha huduma za kijamii, miundombinu, na kuhakikisha ushirikishwaji wa jamii katika maamuzi ya maendeleo. Hata hivyo, kauli yake kuhusu utekelezaji wa malengo ya AFC/M23 imezusha wasiwasi miongoni mwa wanaharakati wa haki za binadamu na wachambuzi wa kisiasa, ambao wanaonya dhidi ya kuhalalisha makundi yenye historia ya mapigano kuwa sehemu ya utawala bila kuwajibika kwa matendo yao ya zamani.

“Hii siyo kuhusu vita,” alisisitiza. “Hii ni kuhusu kurejesha heshima na mamlaka kwa wananchi.”

Maoni kuhusu tukio hilo yamegawanyika. Baadhi ya wakazi wa Bukavu wameonyesha matumaini, wakisema huenda uongozi mpya ukaleta mabadiliko ya kweli. Lakini wengine wana hofu kuwa kuunganisha nguvu za kijeshi na za kisiasa kupitia AFC/M23 kunaweza kuongeza migawanyiko au kuchochea mivutano zaidi ya kikanda, hasa kutokana na historia tata ya kundi hilo na serikali ya kitaifa pamoja na majirani kama Rwanda.

Mpaka sasa, serikali kuu ya DRC haijatoa tamko rasmi kuhusu kuapishwa kwa BNgwi, ingawa vyanzo vya ndani ya Wizara ya Mambo ya Ndani vimeeleza kuwa suala hilo linaangaliwa kwa uangalifu mkubwa.

Kwa sasa, macho yote yameelekezwa Kivu Kusini  ambao umekuwa katikati ya migogoro ya muda mrefu na matatizo ya kibinadamu  ili kuona kama uongozi mpya utaweza kuleta amani ya kudumu au kuongeza changamoto za eneo hilo.

Previous Post

RDC: Constant Mutamba Atangaza Kujiuzulu kwa Rais Félix Tshisekedi

Next Post

RDC: “Mkishaziona mashine zangu katika migodi ya dhahabu Ituri, zichomeni moto” – Luteni Jenerali Luboya N’kashama awaambia wakazi wa Bunia

Next Post
RDC: “Mkishaziona mashine zangu katika migodi ya dhahabu Ituri, zichomeni moto” – Luteni Jenerali Luboya N’kashama awaambia wakazi wa Bunia

RDC: “Mkishaziona mashine zangu katika migodi ya dhahabu Ituri, zichomeni moto” – Luteni Jenerali Luboya N’kashama awaambia wakazi wa Bunia

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Popular News

  • Kivu Kusini : Waasi wa M23 wasababisha Ajali Nyingi pa Bukavu na watu wengi wakufa bila sababu

    Kivu Kusini : Waasi wa M23 wasababisha Ajali Nyingi pa Bukavu na watu wengi wakufa bila sababu

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Serikali ya Kinshasa Yabadilisha Msimamo: Yaungana na Wapinzani Kupitia Tamko Lisilo la Pamoja

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Kalemie: Mafuriko Makubwa: Mamia ya Nyumba Zaharibika, Bandari ya Umma Yamezwa na Maji

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • RDC: “Mkishaziona mashine zangu katika migodi ya dhahabu Ituri, zichomeni moto” – Luteni Jenerali Luboya N’kashama awaambia wakazi wa Bunia

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • DRC: Tshisekedi awasifu waandishi huku uhuru wa vyombo vya habari ikiendelea kukandamizwa

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Recent Posts

  • RDC: “Nchi iko ukingoni mwa kulipuka. Kutafuta suluhisho la mgogoro wa Kongo kwa kusaini na Rwanda ni kupotea njia” – Kikaya bin Karubi atoa onyo kali kuhusu mwelekeo wa nchi, akifichua msimamo wa Kabila juu ya M23
  • RDC: “Mkishaziona mashine zangu katika migodi ya dhahabu Ituri, zichomeni moto” – Luteni Jenerali Luboya N’kashama awaambia wakazi wa Bunia
  • DRC: “Nitafanya kazi na wananchi wa Bukavu ili tufikie malengo ya AFC/M23 kwa pamoja,” asema Busu Bwa Ngwi Nshombo Patrick wakati wa kuapishwa kwake kama Gavana wa Kivu Kusini
  • RDC: Constant Mutamba Atangaza Kujiuzulu kwa Rais Félix Tshisekedi
  • DRC : MLC Yaitaka CENCO Ijisajili Rasmi Kama Chama cha Kisiasa

Categories

  • DUNIA (16)
  • HABARI (62)
    • AFRIKA (30)
    • ELIMU (4)
    • HABARI KATIKA PICHA (1)
    • KIJAMII (6)
  • JAMII (23)
    • AFYA (3)
    • HAKI (10)
    • HAKI ZA BINADAMU (3)
    • UCHAGUZI (2)
    • UHURU WA WAANDISHI WA HABARI (1)
    • USALAMA (14)
    • UTAMADUNI (1)
  • MAONI (1)
  • SERA (10)
  • UCHUMI (2)

Follow us on social media:

RECENT NEWS

  • RDC: “Nchi iko ukingoni mwa kulipuka. Kutafuta suluhisho la mgogoro wa Kongo kwa kusaini na Rwanda ni kupotea njia” – Kikaya bin Karubi atoa onyo kali kuhusu mwelekeo wa nchi, akifichua msimamo wa Kabila juu ya M23
  • RDC: “Mkishaziona mashine zangu katika migodi ya dhahabu Ituri, zichomeni moto” – Luteni Jenerali Luboya N’kashama awaambia wakazi wa Bunia
  • DRC: “Nitafanya kazi na wananchi wa Bukavu ili tufikie malengo ya AFC/M23 kwa pamoja,” asema Busu Bwa Ngwi Nshombo Patrick wakati wa kuapishwa kwake kama Gavana wa Kivu Kusini

KWA JAMII

  • AFRIKA
  • AFYA
  • DUNIA
  • ELIMU
  • HABARI
  • HABARI KATIKA PICHA
  • HAKI
  • HAKI ZA BINADAMU
  • JAMII
  • KIJAMII
  • MAONI
  • SERA
  • UCHAGUZI
  • UCHUMI
  • UHURU WA WAANDISHI WA HABARI
  • USALAMA
  • UTAMADUNI
  • Kuhusu sisi
  • Timu ya wahariri
  • Wasiliana nasi
  • Sera ya faragha

© Copyright 2025, All rights reserved | Kivu Avenir | Design : RashaadSallie.com

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password? Sign Up

Create New Account!

Fill the forms below to register

All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In
  • Login
  • Sign Up
  • MWAZO
  • UCHUMI
  • HABARI
    • AFRIKA
    • HABARI KATIKA PICHA
    • ELIMU
    • KIJAMII
  • SERA
  • JAMII
    • UTAMADUNI
    • UCHAGUZI
    • UHURU WA WAANDISHI WA HABARI
    • AFYA
    • HAKI ZA BINADAMU
    • HAKI
    • USALAMA
  • MAONI
  • MCHEZO
  • FR
  • EN

© Copyright 2025, All rights reserved | Kivu Avenir | Design : RashaadSallie.com