• KUWA MWANDISHI WA HABARI
  • TIMU YA WAHARIRI
  • KUHUSU SISI
  • WASILANA NASI
Wednesday, June 25, 2025
  • Login
  • Register
Kivu-Avenir
Advertisement
  • MWAZO
  • UCHUMI
    Kivu Kusini : Waasi wa M23 wasababisha Ajali Nyingi pa Bukavu na watu wengi wakufa bila sababu

    Kivu Kusini : Waasi wa M23 wasababisha Ajali Nyingi pa Bukavu na watu wengi wakufa bila sababu

    DRC : Bilioni 148 franka za Kongo, pesa zenyi kupotea ndani ya mfuko wa serkali

    DRC : Bilioni 148 franka za Kongo, pesa zenyi kupotea ndani ya mfuko wa serkali

  • HABARI
    • All
    • AFRIKA
    • ELIMU
    • HABARI KATIKA PICHA
    • KIJAMII
    RDC: “Nchi iko ukingoni mwa kulipuka. Kutafuta suluhisho la mgogoro wa Kongo kwa kusaini na Rwanda ni kupotea njia” – Kikaya bin Karubi atoa onyo kali kuhusu mwelekeo wa nchi, akifichua msimamo wa Kabila juu ya M23

    RDC: “Nchi iko ukingoni mwa kulipuka. Kutafuta suluhisho la mgogoro wa Kongo kwa kusaini na Rwanda ni kupotea njia” – Kikaya bin Karubi atoa onyo kali kuhusu mwelekeo wa nchi, akifichua msimamo wa Kabila juu ya M23

    RDC: “Mkishaziona mashine zangu katika migodi ya dhahabu Ituri, zichomeni moto” – Luteni Jenerali Luboya N’kashama awaambia wakazi wa Bunia

    RDC: “Mkishaziona mashine zangu katika migodi ya dhahabu Ituri, zichomeni moto” – Luteni Jenerali Luboya N’kashama awaambia wakazi wa Bunia

    DRC: “Nitafanya kazi na wananchi wa Bukavu ili tufikie malengo ya AFC/M23 kwa pamoja,” asema Busu Bwa Ngwi Nshombo Patrick wakati wa kuapishwa kwake kama Gavana wa Kivu Kusini

    DRC: “Nitafanya kazi na wananchi wa Bukavu ili tufikie malengo ya AFC/M23 kwa pamoja,” asema Busu Bwa Ngwi Nshombo Patrick wakati wa kuapishwa kwake kama Gavana wa Kivu Kusini

    RDC: Constant Mutamba Atangaza Kujiuzulu kwa Rais Félix Tshisekedi

    RDC: Constant Mutamba Atangaza Kujiuzulu kwa Rais Félix Tshisekedi

    DRC : MLC Yaitaka CENCO Ijisajili Rasmi Kama Chama cha Kisiasa

    DRC : MLC Yaitaka CENCO Ijisajili Rasmi Kama Chama cha Kisiasa

    Kivu-Kusini :Barabara za karabatiwa kwa Uongozi wa Kundi AFC-M23

    Kivu-Kusini :Barabara za karabatiwa kwa Uongozi wa Kundi AFC-M23

    DRC: Serikali Yatoa Onyo Dhidi ya Siasa za Mgawanyiko wa Lugha

    DRC: Serikali Yatoa Onyo Dhidi ya Siasa za Mgawanyiko wa Lugha

    RDC – Ituri: Jenerali Johnny Luboya alaani hali ya kusikitisha ya wajane wa wanajeshi waliouawa vitani

    RDC – Ituri: Jenerali Johnny Luboya alaani hali ya kusikitisha ya wajane wa wanajeshi waliouawa vitani

    DRC: “Hakuna Anayeielewa Congo Vizuri Kama Rais wa Zamani Joseph Kabila, Aliyeiongoza kwa Miaka 18” – Profesa Muhindo Mughanda

    DRC: “Hakuna Anayeielewa Congo Vizuri Kama Rais wa Zamani Joseph Kabila, Aliyeiongoza kwa Miaka 18” – Profesa Muhindo Mughanda

    • AFRIKA
    • HABARI KATIKA PICHA
    • ELIMU
    • KIJAMII
  • SERA
    DRC: Prince Epenge wa LAMUKA amhimiza Rais Tshisekedi ajitenge na “wakabiliste” walio karibu naye – Muyaya, Lihau na Mende washutumiwa vikali

    DRC: Prince Epenge wa LAMUKA amhimiza Rais Tshisekedi ajitenge na “wakabiliste” walio karibu naye – Muyaya, Lihau na Mende washutumiwa vikali

    RDC: Aibu ya Kitaifa – Joseph Kabila Aingia Goma Chini ya Ulinzi wa Jeshi la Rwanda (RDF)

    RDC: Aibu ya Kitaifa – Joseph Kabila Aingia Goma Chini ya Ulinzi wa Jeshi la Rwanda (RDF)

    Kivu Kusini : Waasi wa M23 wasababisha Ajali Nyingi pa Bukavu na watu wengi wakufa bila sababu

    Kivu Kusini : Waasi wa M23 wasababisha Ajali Nyingi pa Bukavu na watu wengi wakufa bila sababu

    Kigali–Goma: Njia ya Siri ya Joseph Kabila Yachochea Maswali Mapya

    Kigali–Goma: Njia ya Siri ya Joseph Kabila Yachochea Maswali Mapya

    Tahariri: Ukweli Halisi Kuhusu Nafasi za FARDC na Propaganda za Upotoshaji

    Tahariri: Ukweli Halisi Kuhusu Nafasi za FARDC na Propaganda za Upotoshaji

    DRC: Kivu Kaskazini ni shida isiyoelezeka

    DRC: Kivu Kaskazini ni shida isiyoelezeka

    Ukosefu wa Usalama Mashariki mwa DRC: Msimamo wa ICRC kuhusu waliokimbia makazi yao katika kambi ya  Kanyabayonga

    Ukosefu wa Usalama Mashariki mwa DRC: Msimamo wa ICRC kuhusu waliokimbia makazi yao katika kambi ya Kanyabayonga

    DRC: Taarifa kuhusu Serikali ya Suminwa

    DRC: Taarifa kuhusu Serikali ya Suminwa

    DRC/Usalama: Julien Paluku anapendekeza ujenzi wa jimbo lenye msingi wa jeshi na utawala dhabiti.

    DRC/Usalama: Julien Paluku anapendekeza ujenzi wa jimbo lenye msingi wa jeshi na utawala dhabiti.

  • JAMII
    • All
    • AFYA
    • HAKI
    • HAKI ZA BINADAMU
    • UCHAGUZI
    • UHURU WA WAANDISHI WA HABARI
    • USALAMA
    • UTAMADUNI
    RDC: “Nchi iko ukingoni mwa kulipuka. Kutafuta suluhisho la mgogoro wa Kongo kwa kusaini na Rwanda ni kupotea njia” – Kikaya bin Karubi atoa onyo kali kuhusu mwelekeo wa nchi, akifichua msimamo wa Kabila juu ya M23

    RDC: “Nchi iko ukingoni mwa kulipuka. Kutafuta suluhisho la mgogoro wa Kongo kwa kusaini na Rwanda ni kupotea njia” – Kikaya bin Karubi atoa onyo kali kuhusu mwelekeo wa nchi, akifichua msimamo wa Kabila juu ya M23

    RDC: Constant Mutamba Atangaza Kujiuzulu kwa Rais Félix Tshisekedi

    RDC: Constant Mutamba Atangaza Kujiuzulu kwa Rais Félix Tshisekedi

    Kivu-Kusini :Barabara za karabatiwa kwa Uongozi wa Kundi AFC-M23

    Kivu-Kusini :Barabara za karabatiwa kwa Uongozi wa Kundi AFC-M23

    DRC: Serikali Yatoa Onyo Dhidi ya Siasa za Mgawanyiko wa Lugha

    DRC: Serikali Yatoa Onyo Dhidi ya Siasa za Mgawanyiko wa Lugha

    DRC: Prince Epenge wa LAMUKA amhimiza Rais Tshisekedi ajitenge na “wakabiliste” walio karibu naye – Muyaya, Lihau na Mende washutumiwa vikali

    DRC: Prince Epenge wa LAMUKA amhimiza Rais Tshisekedi ajitenge na “wakabiliste” walio karibu naye – Muyaya, Lihau na Mende washutumiwa vikali

    RDC: Aibu ya Kitaifa – Joseph Kabila Aingia Goma Chini ya Ulinzi wa Jeshi la Rwanda (RDF)

    RDC: Aibu ya Kitaifa – Joseph Kabila Aingia Goma Chini ya Ulinzi wa Jeshi la Rwanda (RDF)

    DRC: Pasipoti ya Katumbi Yazuiwa: Vita Dhidi ya Waswahili Yazidi Kuwaka Nchini

    DRC: Shirika la Kimataifa la Uswahilini (USWAHILI) Latoa Tahadhari Kuhusu Vita ya Ndugu Kwa Ndugu Inayolenga Wazungumzaji wa Kiswahili

    DRC: Kilio cha Fizi Chafika Serikalini: Serikali Yajipanga Kuwasaidia Waathirika

    DRC: Kilio cha Fizi Chafika Serikalini: Serikali Yajipanga Kuwasaidia Waathirika

    Jean Claude Katende: “Ikiwa Rais Tshisekedi hajui jinsi ya kufanya  kazi na katiba ya inch, shida ni yeye mwenyewe.”

    DRC: Tshisekedi awasifu waandishi huku uhuru wa vyombo vya habari ikiendelea kukandamizwa

    • UTAMADUNI
    • UCHAGUZI
    • UHURU WA WAANDISHI WA HABARI
    • AFYA
    • HAKI ZA BINADAMU
    • HAKI
    • USALAMA
  • MAONI
    Tahariri: Ukweli Halisi Kuhusu Nafasi za FARDC na Propaganda za Upotoshaji

    Tahariri: Ukweli Halisi Kuhusu Nafasi za FARDC na Propaganda za Upotoshaji

  • MCHEZO
  • FR
  • EN
No Result
View All Result
  • MWAZO
  • UCHUMI
    Kivu Kusini : Waasi wa M23 wasababisha Ajali Nyingi pa Bukavu na watu wengi wakufa bila sababu

    Kivu Kusini : Waasi wa M23 wasababisha Ajali Nyingi pa Bukavu na watu wengi wakufa bila sababu

    DRC : Bilioni 148 franka za Kongo, pesa zenyi kupotea ndani ya mfuko wa serkali

    DRC : Bilioni 148 franka za Kongo, pesa zenyi kupotea ndani ya mfuko wa serkali

  • HABARI
    • All
    • AFRIKA
    • ELIMU
    • HABARI KATIKA PICHA
    • KIJAMII
    RDC: “Nchi iko ukingoni mwa kulipuka. Kutafuta suluhisho la mgogoro wa Kongo kwa kusaini na Rwanda ni kupotea njia” – Kikaya bin Karubi atoa onyo kali kuhusu mwelekeo wa nchi, akifichua msimamo wa Kabila juu ya M23

    RDC: “Nchi iko ukingoni mwa kulipuka. Kutafuta suluhisho la mgogoro wa Kongo kwa kusaini na Rwanda ni kupotea njia” – Kikaya bin Karubi atoa onyo kali kuhusu mwelekeo wa nchi, akifichua msimamo wa Kabila juu ya M23

    RDC: “Mkishaziona mashine zangu katika migodi ya dhahabu Ituri, zichomeni moto” – Luteni Jenerali Luboya N’kashama awaambia wakazi wa Bunia

    RDC: “Mkishaziona mashine zangu katika migodi ya dhahabu Ituri, zichomeni moto” – Luteni Jenerali Luboya N’kashama awaambia wakazi wa Bunia

    DRC: “Nitafanya kazi na wananchi wa Bukavu ili tufikie malengo ya AFC/M23 kwa pamoja,” asema Busu Bwa Ngwi Nshombo Patrick wakati wa kuapishwa kwake kama Gavana wa Kivu Kusini

    DRC: “Nitafanya kazi na wananchi wa Bukavu ili tufikie malengo ya AFC/M23 kwa pamoja,” asema Busu Bwa Ngwi Nshombo Patrick wakati wa kuapishwa kwake kama Gavana wa Kivu Kusini

    RDC: Constant Mutamba Atangaza Kujiuzulu kwa Rais Félix Tshisekedi

    RDC: Constant Mutamba Atangaza Kujiuzulu kwa Rais Félix Tshisekedi

    DRC : MLC Yaitaka CENCO Ijisajili Rasmi Kama Chama cha Kisiasa

    DRC : MLC Yaitaka CENCO Ijisajili Rasmi Kama Chama cha Kisiasa

    Kivu-Kusini :Barabara za karabatiwa kwa Uongozi wa Kundi AFC-M23

    Kivu-Kusini :Barabara za karabatiwa kwa Uongozi wa Kundi AFC-M23

    DRC: Serikali Yatoa Onyo Dhidi ya Siasa za Mgawanyiko wa Lugha

    DRC: Serikali Yatoa Onyo Dhidi ya Siasa za Mgawanyiko wa Lugha

    RDC – Ituri: Jenerali Johnny Luboya alaani hali ya kusikitisha ya wajane wa wanajeshi waliouawa vitani

    RDC – Ituri: Jenerali Johnny Luboya alaani hali ya kusikitisha ya wajane wa wanajeshi waliouawa vitani

    DRC: “Hakuna Anayeielewa Congo Vizuri Kama Rais wa Zamani Joseph Kabila, Aliyeiongoza kwa Miaka 18” – Profesa Muhindo Mughanda

    DRC: “Hakuna Anayeielewa Congo Vizuri Kama Rais wa Zamani Joseph Kabila, Aliyeiongoza kwa Miaka 18” – Profesa Muhindo Mughanda

    • AFRIKA
    • HABARI KATIKA PICHA
    • ELIMU
    • KIJAMII
  • SERA
    DRC: Prince Epenge wa LAMUKA amhimiza Rais Tshisekedi ajitenge na “wakabiliste” walio karibu naye – Muyaya, Lihau na Mende washutumiwa vikali

    DRC: Prince Epenge wa LAMUKA amhimiza Rais Tshisekedi ajitenge na “wakabiliste” walio karibu naye – Muyaya, Lihau na Mende washutumiwa vikali

    RDC: Aibu ya Kitaifa – Joseph Kabila Aingia Goma Chini ya Ulinzi wa Jeshi la Rwanda (RDF)

    RDC: Aibu ya Kitaifa – Joseph Kabila Aingia Goma Chini ya Ulinzi wa Jeshi la Rwanda (RDF)

    Kivu Kusini : Waasi wa M23 wasababisha Ajali Nyingi pa Bukavu na watu wengi wakufa bila sababu

    Kivu Kusini : Waasi wa M23 wasababisha Ajali Nyingi pa Bukavu na watu wengi wakufa bila sababu

    Kigali–Goma: Njia ya Siri ya Joseph Kabila Yachochea Maswali Mapya

    Kigali–Goma: Njia ya Siri ya Joseph Kabila Yachochea Maswali Mapya

    Tahariri: Ukweli Halisi Kuhusu Nafasi za FARDC na Propaganda za Upotoshaji

    Tahariri: Ukweli Halisi Kuhusu Nafasi za FARDC na Propaganda za Upotoshaji

    DRC: Kivu Kaskazini ni shida isiyoelezeka

    DRC: Kivu Kaskazini ni shida isiyoelezeka

    Ukosefu wa Usalama Mashariki mwa DRC: Msimamo wa ICRC kuhusu waliokimbia makazi yao katika kambi ya  Kanyabayonga

    Ukosefu wa Usalama Mashariki mwa DRC: Msimamo wa ICRC kuhusu waliokimbia makazi yao katika kambi ya Kanyabayonga

    DRC: Taarifa kuhusu Serikali ya Suminwa

    DRC: Taarifa kuhusu Serikali ya Suminwa

    DRC/Usalama: Julien Paluku anapendekeza ujenzi wa jimbo lenye msingi wa jeshi na utawala dhabiti.

    DRC/Usalama: Julien Paluku anapendekeza ujenzi wa jimbo lenye msingi wa jeshi na utawala dhabiti.

  • JAMII
    • All
    • AFYA
    • HAKI
    • HAKI ZA BINADAMU
    • UCHAGUZI
    • UHURU WA WAANDISHI WA HABARI
    • USALAMA
    • UTAMADUNI
    RDC: “Nchi iko ukingoni mwa kulipuka. Kutafuta suluhisho la mgogoro wa Kongo kwa kusaini na Rwanda ni kupotea njia” – Kikaya bin Karubi atoa onyo kali kuhusu mwelekeo wa nchi, akifichua msimamo wa Kabila juu ya M23

    RDC: “Nchi iko ukingoni mwa kulipuka. Kutafuta suluhisho la mgogoro wa Kongo kwa kusaini na Rwanda ni kupotea njia” – Kikaya bin Karubi atoa onyo kali kuhusu mwelekeo wa nchi, akifichua msimamo wa Kabila juu ya M23

    RDC: Constant Mutamba Atangaza Kujiuzulu kwa Rais Félix Tshisekedi

    RDC: Constant Mutamba Atangaza Kujiuzulu kwa Rais Félix Tshisekedi

    Kivu-Kusini :Barabara za karabatiwa kwa Uongozi wa Kundi AFC-M23

    Kivu-Kusini :Barabara za karabatiwa kwa Uongozi wa Kundi AFC-M23

    DRC: Serikali Yatoa Onyo Dhidi ya Siasa za Mgawanyiko wa Lugha

    DRC: Serikali Yatoa Onyo Dhidi ya Siasa za Mgawanyiko wa Lugha

    DRC: Prince Epenge wa LAMUKA amhimiza Rais Tshisekedi ajitenge na “wakabiliste” walio karibu naye – Muyaya, Lihau na Mende washutumiwa vikali

    DRC: Prince Epenge wa LAMUKA amhimiza Rais Tshisekedi ajitenge na “wakabiliste” walio karibu naye – Muyaya, Lihau na Mende washutumiwa vikali

    RDC: Aibu ya Kitaifa – Joseph Kabila Aingia Goma Chini ya Ulinzi wa Jeshi la Rwanda (RDF)

    RDC: Aibu ya Kitaifa – Joseph Kabila Aingia Goma Chini ya Ulinzi wa Jeshi la Rwanda (RDF)

    DRC: Pasipoti ya Katumbi Yazuiwa: Vita Dhidi ya Waswahili Yazidi Kuwaka Nchini

    DRC: Shirika la Kimataifa la Uswahilini (USWAHILI) Latoa Tahadhari Kuhusu Vita ya Ndugu Kwa Ndugu Inayolenga Wazungumzaji wa Kiswahili

    DRC: Kilio cha Fizi Chafika Serikalini: Serikali Yajipanga Kuwasaidia Waathirika

    DRC: Kilio cha Fizi Chafika Serikalini: Serikali Yajipanga Kuwasaidia Waathirika

    Jean Claude Katende: “Ikiwa Rais Tshisekedi hajui jinsi ya kufanya  kazi na katiba ya inch, shida ni yeye mwenyewe.”

    DRC: Tshisekedi awasifu waandishi huku uhuru wa vyombo vya habari ikiendelea kukandamizwa

    • UTAMADUNI
    • UCHAGUZI
    • UHURU WA WAANDISHI WA HABARI
    • AFYA
    • HAKI ZA BINADAMU
    • HAKI
    • USALAMA
  • MAONI
    Tahariri: Ukweli Halisi Kuhusu Nafasi za FARDC na Propaganda za Upotoshaji

    Tahariri: Ukweli Halisi Kuhusu Nafasi za FARDC na Propaganda za Upotoshaji

  • MCHEZO
  • FR
  • EN
No Result
View All Result
Kivu-Avenir
No Result
View All Result
Home DUNIA

Kalemie: Mafuriko Makubwa: Mamia ya Nyumba Zaharibika, Bandari ya Umma Yamezwa na Maji

Kalemie, Mvua kubwa iliyoanza kunyesha usiku wa Jumanne, tarehe 6 Mei, imesababisha maafa makubwa katika jiji la Kalemie, mkoani Tanganyika, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Mvua hiyo iliyokuwa na upepo mkali na mvua nyingi imepelekea mafuriko makubwa ambayo yameharibu zaidi ya nyumba 300, na kuwaacha mamia ya watu bila makazi.

Redaction Central by Redaction Central
7 May 2025
in DUNIA
Reading Time: 1 min read
0
Kalemie: Mafuriko Makubwa: Mamia ya Nyumba Zaharibika, Bandari ya Umma Yamezwa na Maji

Kalemie

Maeneo yaliyoathirika zaidi ni pamoja na Kata ya Kataki, Kabondo, Lubuzi, na Kituku. Wakazi wengi walikimbilia makanisa, shule na maeneo ya wazi ili kujinusuru na mafuriko hayo. Mamlaka za mitaa zinasema kuwa idadi ya waliopoteza makazi yao huenda ikaongezeka kadiri inavyoendelea.

Sekta ya elimu haijanusurika pia. Takribani shule sita zimethibitishwa kupata uharibifu mkubwa, huku vyumba vya madarasa vikijaa maji, paa zikivunjika na vifaa vya kufundishia kuharibiwa. Hali hii imeleta hofu kubwa hasa kwa wanafunzi waliokuwa wakijiandaa kwa mitihani ya mwisho wa mwaka.

Bandari ya umma ya Kalemie, ambayo ni njia kuu ya usafirishaji wa bidhaa kupitia Ziwa Tanganyika, imezama chini ya maji. Maboti kadhaa, maghala ya kuhifadhi mizigo na sehemu ya kupakia na kupakua bidhaa vimeharibiwa. Usafirishaji wa bidhaa kutoka na kuingia Kalemie kupitia bandari hiyo sasa imesimama.

Mkuu wa jiji la Kalemie, katika mahojiano na waandishi wa habari, amesema:

“Hali ni mbaya sana. Tunahitaji msaada wa haraka kutoka kwa serikali kuu na mashirika ya misaada. Wananchi wanahitaji makazi ya dharura, chakula, maji safi na huduma za afya.”

Huduma za msingi kama maji na umeme pia zimeathirika vibaya. Baadhi ya barabara kuu na ndogo zimekatika, na maeneo mengi hayawezi kufikiwa kwa urahisi. Idara ya ulinzi wa raia imeanza kutoa misaada ya awali, lakini changamoto kubwa ni ukosefu wa vifaa na miundombinu.

Tukio hili limeonyesha tena hatari kubwa inayolikabili jiji la Kalemie kutokana na mabadiliko ya tabianchi, ujenzi holela na ukosefu wa mifereji ya maji ya mvua. Mamlaka zinatoa wito kwa wananchi na mashirika ya kitaifa na kimataifa kushirikiana ili kusaidia waathirika na kuimarisha maandalizi dhidi ya majanga ya asili.

Tags: Kalemie
Previous Post

DRC: Martin Fayulu Amshutumu Rais Félix Tshisekedi, Amtaka Ajiuzulu Kabla ya 2028

Next Post

Roma: Katika Misa Yake ya Kwanza, Papa Mpya Alaani Kupungua kwa Imani kwa Faida ya Pesa

Next Post
Roma: Katika Misa Yake ya Kwanza, Papa Mpya Alaani Kupungua kwa Imani kwa Faida ya Pesa

Roma: Katika Misa Yake ya Kwanza, Papa Mpya Alaani Kupungua kwa Imani kwa Faida ya Pesa

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Popular News

  • Kivu Kusini : Waasi wa M23 wasababisha Ajali Nyingi pa Bukavu na watu wengi wakufa bila sababu

    Kivu Kusini : Waasi wa M23 wasababisha Ajali Nyingi pa Bukavu na watu wengi wakufa bila sababu

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Serikali ya Kinshasa Yabadilisha Msimamo: Yaungana na Wapinzani Kupitia Tamko Lisilo la Pamoja

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Kalemie: Mafuriko Makubwa: Mamia ya Nyumba Zaharibika, Bandari ya Umma Yamezwa na Maji

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • RDC: “Mkishaziona mashine zangu katika migodi ya dhahabu Ituri, zichomeni moto” – Luteni Jenerali Luboya N’kashama awaambia wakazi wa Bunia

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • DRC: Tshisekedi awasifu waandishi huku uhuru wa vyombo vya habari ikiendelea kukandamizwa

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Recent Posts

  • RDC: “Nchi iko ukingoni mwa kulipuka. Kutafuta suluhisho la mgogoro wa Kongo kwa kusaini na Rwanda ni kupotea njia” – Kikaya bin Karubi atoa onyo kali kuhusu mwelekeo wa nchi, akifichua msimamo wa Kabila juu ya M23
  • RDC: “Mkishaziona mashine zangu katika migodi ya dhahabu Ituri, zichomeni moto” – Luteni Jenerali Luboya N’kashama awaambia wakazi wa Bunia
  • DRC: “Nitafanya kazi na wananchi wa Bukavu ili tufikie malengo ya AFC/M23 kwa pamoja,” asema Busu Bwa Ngwi Nshombo Patrick wakati wa kuapishwa kwake kama Gavana wa Kivu Kusini
  • RDC: Constant Mutamba Atangaza Kujiuzulu kwa Rais Félix Tshisekedi
  • DRC : MLC Yaitaka CENCO Ijisajili Rasmi Kama Chama cha Kisiasa

Categories

  • DUNIA (16)
  • HABARI (62)
    • AFRIKA (30)
    • ELIMU (4)
    • HABARI KATIKA PICHA (1)
    • KIJAMII (6)
  • JAMII (23)
    • AFYA (3)
    • HAKI (10)
    • HAKI ZA BINADAMU (3)
    • UCHAGUZI (2)
    • UHURU WA WAANDISHI WA HABARI (1)
    • USALAMA (14)
    • UTAMADUNI (1)
  • MAONI (1)
  • SERA (10)
  • UCHUMI (2)

Follow us on social media:

RECENT NEWS

  • RDC: “Nchi iko ukingoni mwa kulipuka. Kutafuta suluhisho la mgogoro wa Kongo kwa kusaini na Rwanda ni kupotea njia” – Kikaya bin Karubi atoa onyo kali kuhusu mwelekeo wa nchi, akifichua msimamo wa Kabila juu ya M23
  • RDC: “Mkishaziona mashine zangu katika migodi ya dhahabu Ituri, zichomeni moto” – Luteni Jenerali Luboya N’kashama awaambia wakazi wa Bunia
  • DRC: “Nitafanya kazi na wananchi wa Bukavu ili tufikie malengo ya AFC/M23 kwa pamoja,” asema Busu Bwa Ngwi Nshombo Patrick wakati wa kuapishwa kwake kama Gavana wa Kivu Kusini

KWA JAMII

  • AFRIKA
  • AFYA
  • DUNIA
  • ELIMU
  • HABARI
  • HABARI KATIKA PICHA
  • HAKI
  • HAKI ZA BINADAMU
  • JAMII
  • KIJAMII
  • MAONI
  • SERA
  • UCHAGUZI
  • UCHUMI
  • UHURU WA WAANDISHI WA HABARI
  • USALAMA
  • UTAMADUNI
  • Kuhusu sisi
  • Timu ya wahariri
  • Wasiliana nasi
  • Sera ya faragha

© Copyright 2025, All rights reserved | Kivu Avenir | Design : RashaadSallie.com

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password? Sign Up

Create New Account!

Fill the forms below to register

All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In
  • Login
  • Sign Up
  • MWAZO
  • UCHUMI
  • HABARI
    • AFRIKA
    • HABARI KATIKA PICHA
    • ELIMU
    • KIJAMII
  • SERA
  • JAMII
    • UTAMADUNI
    • UCHAGUZI
    • UHURU WA WAANDISHI WA HABARI
    • AFYA
    • HAKI ZA BINADAMU
    • HAKI
    • USALAMA
  • MAONI
  • MCHEZO
  • FR
  • EN

© Copyright 2025, All rights reserved | Kivu Avenir | Design : RashaadSallie.com