• KUWA MWANDISHI WA HABARI
  • TIMU YA WAHARIRI
  • KUHUSU SISI
  • WASILANA NASI
Jumapili, Mei 11, 2025
  • Login
  • Register
Kivu-Avenir
Advertisement
  • MWAZO
  • UCHUMI
    DRC : Bilioni 148 franka za Kongo, pesa zenyi kupotea ndani ya mfuko wa serkali

    DRC : Bilioni 148 franka za Kongo, pesa zenyi kupotea ndani ya mfuko wa serkali

  • HABARI
    • All
    • AFRIKA
    • ELIMU
    • KIJAMII
    Roma: Katika Misa Yake ya Kwanza, Papa Mpya Alaani Kupungua kwa Imani kwa Faida ya Pesa

    Roma: Katika Misa Yake ya Kwanza, Papa Mpya Alaani Kupungua kwa Imani kwa Faida ya Pesa

    DRC: Martin Fayulu Amshutumu Rais Félix Tshisekedi, Amtaka Ajiuzulu Kabla ya 2028

    DRC: Martin Fayulu Amshutumu Rais Félix Tshisekedi, Amtaka Ajiuzulu Kabla ya 2028

    Uchambuzi – Ukimya wa Kisheria: Kauli za Nicolas Kazadi na Udhaifu wa Utawala wa Sheria Nchini DRC

    Uchambuzi – Ukimya wa Kisheria: Kauli za Nicolas Kazadi na Udhaifu wa Utawala wa Sheria Nchini DRC

    Rais wa DRC akutana na Mwakilishi Maalum wa Denmark kujadili hali ya mashariki

    Rais wa DRC akutana na Mwakilishi Maalum wa Denmark kujadili hali ya mashariki

    Jean Claude Katende: “Ikiwa Rais Tshisekedi hajui jinsi ya kufanya  kazi na katiba ya inch, shida ni yeye mwenyewe.”

    DRC: Tshisekedi awasifu waandishi huku uhuru wa vyombo vya habari ikiendelea kukandamizwa

    DRC: Jeshi la FARDC lawatuhumu waasi wa M23 kwa kuvuruga mazungumzo ya amani

    DRC: Jeshi la FARDC lawatuhumu waasi wa M23 kwa kuvuruga mazungumzo ya amani

    Kenya: Kiatu Charushwa Kwa Rais William Ruto Katika Mkutano wa Hadhara Taharuki Yazuka, Uchunguzi Waendelea

    Kenya: Kiatu Charushwa Kwa Rais William Ruto Katika Mkutano wa Hadhara Taharuki Yazuka, Uchunguzi Waendelea

    Kuondoka kwa Vikosi vya Afrika Kusini DRC: Hatua ya Kisiasa Kuelekea Amani ya Kudumu

    Kuondoka kwa Vikosi vya Afrika Kusini DRC: Hatua ya Kisiasa Kuelekea Amani ya Kudumu

    DRC: Kati ya Doha na Washington, Mustakabali wa Mchakato wa Luanda na Nairobi katika Maswali

    DRC: Kati ya Doha na Washington, Mustakabali wa Mchakato wa Luanda na Nairobi katika Maswali

    • AFRIKA
    • HABARI KATIKA PICHA
    • ELIMU
    • KIJAMII
  • SERA
    Kigali–Goma: Njia ya Siri ya Joseph Kabila Yachochea Maswali Mapya

    Kigali–Goma: Njia ya Siri ya Joseph Kabila Yachochea Maswali Mapya

    Tahariri: Ukweli Halisi Kuhusu Nafasi za FARDC na Propaganda za Upotoshaji

    Tahariri: Ukweli Halisi Kuhusu Nafasi za FARDC na Propaganda za Upotoshaji

    DRC: Kivu Kaskazini ni shida isiyoelezeka

    DRC: Kivu Kaskazini ni shida isiyoelezeka

    Ukosefu wa Usalama Mashariki mwa DRC: Msimamo wa ICRC kuhusu waliokimbia makazi yao katika kambi ya  Kanyabayonga

    Ukosefu wa Usalama Mashariki mwa DRC: Msimamo wa ICRC kuhusu waliokimbia makazi yao katika kambi ya Kanyabayonga

    DRC: Taarifa kuhusu Serikali ya Suminwa

    DRC: Taarifa kuhusu Serikali ya Suminwa

    DRC/Usalama: Julien Paluku anapendekeza ujenzi wa jimbo lenye msingi wa jeshi na utawala dhabiti.

    DRC/Usalama: Julien Paluku anapendekeza ujenzi wa jimbo lenye msingi wa jeshi na utawala dhabiti.

    Bunge la taifa: VITAL KAMERHE Mti wenye kuwa na Matunda katika siasa ya DRC

    Bunge la taifa: VITAL KAMERHE Mti wenye kuwa na Matunda katika siasa ya DRC

  • JAMII
    • All
    • AFYA
    • HAKI
    • HAKI ZA BINADAMU
    • USALAMA
    • UTAMADUNI
    Jean Claude Katende: “Ikiwa Rais Tshisekedi hajui jinsi ya kufanya  kazi na katiba ya inch, shida ni yeye mwenyewe.”

    DRC: Tshisekedi awasifu waandishi huku uhuru wa vyombo vya habari ikiendelea kukandamizwa

    DRC: Jeshi la FARDC lawatuhumu waasi wa M23 kwa kuvuruga mazungumzo ya amani

    DRC: Jeshi la FARDC lawatuhumu waasi wa M23 kwa kuvuruga mazungumzo ya amani

    DRC: Kati ya Doha na Washington, Mustakabali wa Mchakato wa Luanda na Nairobi katika Maswali

    DRC: Kati ya Doha na Washington, Mustakabali wa Mchakato wa Luanda na Nairobi katika Maswali

    Kigali–Goma: Njia ya Siri ya Joseph Kabila Yachochea Maswali Mapya

    Kigali–Goma: Njia ya Siri ya Joseph Kabila Yachochea Maswali Mapya

    Tahariri: Ukweli Halisi Kuhusu Nafasi za FARDC na Propaganda za Upotoshaji

    Tahariri: Ukweli Halisi Kuhusu Nafasi za FARDC na Propaganda za Upotoshaji

    DRC: Benki kuu mjini Kinshasa yaziwiya fedha: Corneille Nangaa atafuta njia mbadala ya kuokoa watu

    DRC: Benki kuu mjini Kinshasa yaziwiya fedha: Corneille Nangaa atafuta njia mbadala ya kuokoa watu

    Vikwazo vya Umoja wa Ulaya na kuvunja Ubelgiji: Waasi wa AFC/M23 wafutilia mbali ushiriki katika mazungumzo ya Luanda

    Vikwazo vya Umoja wa Ulaya na kuvunja Ubelgiji: Waasi wa AFC/M23 wafutilia mbali ushiriki katika mazungumzo ya Luanda

    Kivu-Kusini: Waakaji wa Walungu wanadai kubandilishwa lami ya RN 2 kama walivyo ahidiwa na Rais

    Kivu-Kusini: Waakaji wa Walungu wanadai kubandilishwa lami ya RN 2 kama walivyo ahidiwa na Rais

    Kivu Kusini: Kabare Alexandre Rugemaninzi wa 3 ndiye mwami mpya wa Kabare

    Kivu Kusini: Kabare Alexandre Rugemaninzi wa 3 ndiye mwami mpya wa Kabare

    • UTAMADUNI
    • UCHAGUZI
    • UHURU WA WAANDISHI WA HABARI
    • AFYA
    • HAKI ZA BINADAMU
    • HAKI
    • USALAMA
  • MAONI
    Tahariri: Ukweli Halisi Kuhusu Nafasi za FARDC na Propaganda za Upotoshaji

    Tahariri: Ukweli Halisi Kuhusu Nafasi za FARDC na Propaganda za Upotoshaji

  • MCHEZO
  • FR
  • EN
No Result
View All Result
  • MWAZO
  • UCHUMI
    DRC : Bilioni 148 franka za Kongo, pesa zenyi kupotea ndani ya mfuko wa serkali

    DRC : Bilioni 148 franka za Kongo, pesa zenyi kupotea ndani ya mfuko wa serkali

  • HABARI
    • All
    • AFRIKA
    • ELIMU
    • KIJAMII
    Roma: Katika Misa Yake ya Kwanza, Papa Mpya Alaani Kupungua kwa Imani kwa Faida ya Pesa

    Roma: Katika Misa Yake ya Kwanza, Papa Mpya Alaani Kupungua kwa Imani kwa Faida ya Pesa

    DRC: Martin Fayulu Amshutumu Rais Félix Tshisekedi, Amtaka Ajiuzulu Kabla ya 2028

    DRC: Martin Fayulu Amshutumu Rais Félix Tshisekedi, Amtaka Ajiuzulu Kabla ya 2028

    Uchambuzi – Ukimya wa Kisheria: Kauli za Nicolas Kazadi na Udhaifu wa Utawala wa Sheria Nchini DRC

    Uchambuzi – Ukimya wa Kisheria: Kauli za Nicolas Kazadi na Udhaifu wa Utawala wa Sheria Nchini DRC

    Rais wa DRC akutana na Mwakilishi Maalum wa Denmark kujadili hali ya mashariki

    Rais wa DRC akutana na Mwakilishi Maalum wa Denmark kujadili hali ya mashariki

    Jean Claude Katende: “Ikiwa Rais Tshisekedi hajui jinsi ya kufanya  kazi na katiba ya inch, shida ni yeye mwenyewe.”

    DRC: Tshisekedi awasifu waandishi huku uhuru wa vyombo vya habari ikiendelea kukandamizwa

    DRC: Jeshi la FARDC lawatuhumu waasi wa M23 kwa kuvuruga mazungumzo ya amani

    DRC: Jeshi la FARDC lawatuhumu waasi wa M23 kwa kuvuruga mazungumzo ya amani

    Kenya: Kiatu Charushwa Kwa Rais William Ruto Katika Mkutano wa Hadhara Taharuki Yazuka, Uchunguzi Waendelea

    Kenya: Kiatu Charushwa Kwa Rais William Ruto Katika Mkutano wa Hadhara Taharuki Yazuka, Uchunguzi Waendelea

    Kuondoka kwa Vikosi vya Afrika Kusini DRC: Hatua ya Kisiasa Kuelekea Amani ya Kudumu

    Kuondoka kwa Vikosi vya Afrika Kusini DRC: Hatua ya Kisiasa Kuelekea Amani ya Kudumu

    DRC: Kati ya Doha na Washington, Mustakabali wa Mchakato wa Luanda na Nairobi katika Maswali

    DRC: Kati ya Doha na Washington, Mustakabali wa Mchakato wa Luanda na Nairobi katika Maswali

    • AFRIKA
    • HABARI KATIKA PICHA
    • ELIMU
    • KIJAMII
  • SERA
    Kigali–Goma: Njia ya Siri ya Joseph Kabila Yachochea Maswali Mapya

    Kigali–Goma: Njia ya Siri ya Joseph Kabila Yachochea Maswali Mapya

    Tahariri: Ukweli Halisi Kuhusu Nafasi za FARDC na Propaganda za Upotoshaji

    Tahariri: Ukweli Halisi Kuhusu Nafasi za FARDC na Propaganda za Upotoshaji

    DRC: Kivu Kaskazini ni shida isiyoelezeka

    DRC: Kivu Kaskazini ni shida isiyoelezeka

    Ukosefu wa Usalama Mashariki mwa DRC: Msimamo wa ICRC kuhusu waliokimbia makazi yao katika kambi ya  Kanyabayonga

    Ukosefu wa Usalama Mashariki mwa DRC: Msimamo wa ICRC kuhusu waliokimbia makazi yao katika kambi ya Kanyabayonga

    DRC: Taarifa kuhusu Serikali ya Suminwa

    DRC: Taarifa kuhusu Serikali ya Suminwa

    DRC/Usalama: Julien Paluku anapendekeza ujenzi wa jimbo lenye msingi wa jeshi na utawala dhabiti.

    DRC/Usalama: Julien Paluku anapendekeza ujenzi wa jimbo lenye msingi wa jeshi na utawala dhabiti.

    Bunge la taifa: VITAL KAMERHE Mti wenye kuwa na Matunda katika siasa ya DRC

    Bunge la taifa: VITAL KAMERHE Mti wenye kuwa na Matunda katika siasa ya DRC

  • JAMII
    • All
    • AFYA
    • HAKI
    • HAKI ZA BINADAMU
    • USALAMA
    • UTAMADUNI
    Jean Claude Katende: “Ikiwa Rais Tshisekedi hajui jinsi ya kufanya  kazi na katiba ya inch, shida ni yeye mwenyewe.”

    DRC: Tshisekedi awasifu waandishi huku uhuru wa vyombo vya habari ikiendelea kukandamizwa

    DRC: Jeshi la FARDC lawatuhumu waasi wa M23 kwa kuvuruga mazungumzo ya amani

    DRC: Jeshi la FARDC lawatuhumu waasi wa M23 kwa kuvuruga mazungumzo ya amani

    DRC: Kati ya Doha na Washington, Mustakabali wa Mchakato wa Luanda na Nairobi katika Maswali

    DRC: Kati ya Doha na Washington, Mustakabali wa Mchakato wa Luanda na Nairobi katika Maswali

    Kigali–Goma: Njia ya Siri ya Joseph Kabila Yachochea Maswali Mapya

    Kigali–Goma: Njia ya Siri ya Joseph Kabila Yachochea Maswali Mapya

    Tahariri: Ukweli Halisi Kuhusu Nafasi za FARDC na Propaganda za Upotoshaji

    Tahariri: Ukweli Halisi Kuhusu Nafasi za FARDC na Propaganda za Upotoshaji

    DRC: Benki kuu mjini Kinshasa yaziwiya fedha: Corneille Nangaa atafuta njia mbadala ya kuokoa watu

    DRC: Benki kuu mjini Kinshasa yaziwiya fedha: Corneille Nangaa atafuta njia mbadala ya kuokoa watu

    Vikwazo vya Umoja wa Ulaya na kuvunja Ubelgiji: Waasi wa AFC/M23 wafutilia mbali ushiriki katika mazungumzo ya Luanda

    Vikwazo vya Umoja wa Ulaya na kuvunja Ubelgiji: Waasi wa AFC/M23 wafutilia mbali ushiriki katika mazungumzo ya Luanda

    Kivu-Kusini: Waakaji wa Walungu wanadai kubandilishwa lami ya RN 2 kama walivyo ahidiwa na Rais

    Kivu-Kusini: Waakaji wa Walungu wanadai kubandilishwa lami ya RN 2 kama walivyo ahidiwa na Rais

    Kivu Kusini: Kabare Alexandre Rugemaninzi wa 3 ndiye mwami mpya wa Kabare

    Kivu Kusini: Kabare Alexandre Rugemaninzi wa 3 ndiye mwami mpya wa Kabare

    • UTAMADUNI
    • UCHAGUZI
    • UHURU WA WAANDISHI WA HABARI
    • AFYA
    • HAKI ZA BINADAMU
    • HAKI
    • USALAMA
  • MAONI
    Tahariri: Ukweli Halisi Kuhusu Nafasi za FARDC na Propaganda za Upotoshaji

    Tahariri: Ukweli Halisi Kuhusu Nafasi za FARDC na Propaganda za Upotoshaji

  • MCHEZO
  • FR
  • EN
No Result
View All Result
Kivu-Avenir
No Result
View All Result
Home DUNIA

Kenya: Kiatu Charushwa Kwa Rais William Ruto Katika Mkutano wa Hadhara Taharuki Yazuka, Uchunguzi Waendelea

Mkutano wa hadhara wa kisiasa uliofanyika katika eneo la Magharibi mwa Kenya uligeuka kuwa wa taharuki baada ya mtu mmoja kutoka kwenye umati kurusha kiatu moja kwa moja kuelekea kwa Rais wa Jamhuri ya Kenya, William Ruto, wakati alipokuwa akiwasilisha hotuba yake mbele ya maelfu ya wananchi.

Rédaction Centrale by Rédaction Centrale
4 Mei 2025
in DUNIA, AFRIKA, HABARI
Reading Time: 1 min read
0
Kenya: Kiatu Charushwa Kwa Rais William Ruto Katika Mkutano wa Hadhara Taharuki Yazuka, Uchunguzi Waendelea

Rais wa Jamhuri ya Kenya, William Ruto

Ingawa kiatu hicho hakikumpata Rais Ruto, tukio hilo lilisababisha mchanganyiko wa muda mfupi, liki wazalimisha maafisa wa usalama wa rais kuchukua hatua za haraka kumlinda kiongozi huyo wa taifa. Mshukiwa huyo alikamatwa papo hapo na kuondolewa eneo hilo chini ya ulinzi mkali.

Licha ya tukio hilo la kushtua, Rais Ruto aliendelea na hotuba yake dakika chache baadaye, akionekana mtulivu huku akitumia fursa hiyo kusisitiza umuhimu wa uvumilivu wa kisiasa na kuheshimu maoni tofauti.

“Ningependa kuwaambia wananchi wenzangu kuwa tofauti zetu haziwezi kutupeleka kwenye chuki au dharau. Tujenge taifa letu kwa mazungumzo na kuheshimiana, siyo kwa matukio kama haya,” alisema rais kwa sauti thabiti, akishangiliwa na sehemu ya umati.

Mamlaka za usalama zimeripoti kuwa mtu aliyerusha kiatu anashikiliwa na Polisi kwa mahoji zaidi, huku uchunguzi wa kina ukiendelea kubaini nia yake. Taarifa za awali zinaashiria kuwa huenda tukio hilo lilikuwa la mtu binafsi asiye na uhusiano wa moja kwa moja na kikundi chochote cha kisiasa, lakini hii haijathibitishwa rasmi.

“Tunachunguza kwa kina ili kujua kama ilikuwa ni hatua ya kujieleza kisiasa, upinzani wa kisera, au jaribio la kuleta vurugu kwa makusudi.”

Tukio hilo limezua mijadala mikubwa kwenye mitandao ya kijamii, baadhi ya watu wakilaani vikali kitendo hicho, huku wengine wakikitazama kama ishara ya hasira na kukata tamaa kwa baadhi ya wananchi dhidi ya hali ya kiuchumi na utawala wa sasa.

Vyama vya upinzani vimeelezea kusikitishwa kwao na tukio hilo huku vikisisitiza kwamba mabadiliko ya kweli hayawezi kupatikana kwa vitendo vya vurugu, bali kupitia mijadala ya wazi na demokrasia inayoendeshwa kwa amani.

Mashirika ya kiraia pia yametoa wito kwa viongozi wa kisiasa kupunguza lugha za uchochezi, wakionya kuwa mazingira ya sasa ya kisiasa yanahitaji busara na uongozi wa kuvumiliana.

Tags: William Ruto
Previous Post

Kuondoka kwa Vikosi vya Afrika Kusini DRC: Hatua ya Kisiasa Kuelekea Amani ya Kudumu

Next Post

DRC: Jeshi la FARDC lawatuhumu waasi wa M23 kwa kuvuruga mazungumzo ya amani

Next Post
DRC: Jeshi la FARDC lawatuhumu waasi wa M23 kwa kuvuruga mazungumzo ya amani

DRC: Jeshi la FARDC lawatuhumu waasi wa M23 kwa kuvuruga mazungumzo ya amani

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Popular News

  • DRC: Benki kuu mjini Kinshasa yaziwiya fedha: Corneille Nangaa atafuta njia mbadala ya kuokoa watu

    Serikali ya Kinshasa Yabadilisha Msimamo: Yaungana na Wapinzani Kupitia Tamko Lisilo la Pamoja

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Kigali–Goma: Njia ya Siri ya Joseph Kabila Yachochea Maswali Mapya

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Kalemie: Mafuriko Makubwa: Mamia ya Nyumba Zaharibika, Bandari ya Umma Yamezwa na Maji

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Kuondoka kwa Vikosi vya Afrika Kusini DRC: Hatua ya Kisiasa Kuelekea Amani ya Kudumu

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Tahariri: Ukweli Halisi Kuhusu Nafasi za FARDC na Propaganda za Upotoshaji

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Recent Posts

  • Roma: Katika Misa Yake ya Kwanza, Papa Mpya Alaani Kupungua kwa Imani kwa Faida ya Pesa
  • Kalemie: Mafuriko Makubwa: Mamia ya Nyumba Zaharibika, Bandari ya Umma Yamezwa na Maji
  • DRC: Martin Fayulu Amshutumu Rais Félix Tshisekedi, Amtaka Ajiuzulu Kabla ya 2028
  • DRC – Mwenga: Waasi wa AFC/M23 waripotiwa kuingia katika chefferie ya Luhwinja, eneo tajiri ya dhahabu
  • Uchambuzi – Ukimya wa Kisheria: Kauli za Nicolas Kazadi na Udhaifu wa Utawala wa Sheria Nchini DRC

Categories

  • DUNIA (12)
  • HABARI (46)
    • AFRIKA (17)
    • ELIMU (2)
    • KIJAMII (3)
  • JAMII (15)
    • AFYA (1)
    • HAKI (4)
    • HAKI ZA BINADAMU (3)
    • USALAMA (9)
    • UTAMADUNI (1)
  • MAONI (1)
  • SERA (7)
  • UCHUMI (1)

Follow us on social media:

RECENT NEWS

  • Roma: Katika Misa Yake ya Kwanza, Papa Mpya Alaani Kupungua kwa Imani kwa Faida ya Pesa
  • Kalemie: Mafuriko Makubwa: Mamia ya Nyumba Zaharibika, Bandari ya Umma Yamezwa na Maji
  • DRC: Martin Fayulu Amshutumu Rais Félix Tshisekedi, Amtaka Ajiuzulu Kabla ya 2028

KWA JAMII

  • AFRIKA
  • AFYA
  • DUNIA
  • ELIMU
  • HABARI
  • HAKI
  • HAKI ZA BINADAMU
  • JAMII
  • KIJAMII
  • MAONI
  • SERA
  • UCHUMI
  • USALAMA
  • UTAMADUNI
  • Kuhusu sisi
  • Timu ya wahariri
  • Wasiliana nasi
  • Sera ya faragha

© Copyright 2025, All rights reserved | Kivu Avenir | Design : RashaadSallie.com

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password? Sign Up

Create New Account!

Fill the forms below to register

All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In
  • Login
  • Sign Up
  • MWAZO
  • UCHUMI
  • HABARI
    • AFRIKA
    • HABARI KATIKA PICHA
    • ELIMU
    • KIJAMII
  • SERA
  • JAMII
    • UTAMADUNI
    • UCHAGUZI
    • UHURU WA WAANDISHI WA HABARI
    • AFYA
    • HAKI ZA BINADAMU
    • HAKI
    • USALAMA
  • MAONI
  • MCHEZO
  • FR
  • EN

© Copyright 2025, All rights reserved | Kivu Avenir | Design : RashaadSallie.com